Hapo kilaza nani?Darasa La Vilaza pia linakuwa na Wa Kwanza na Wa mwisho anakuwepo...!
Kule Shirikisho wote ni Vilaza...! Kwani timu yako ilicheza kule msimu uliopita?
Wewe sio tu una mtindio wa ubongo. UNA UGONJWA WA AKILI PIANi yule tu mwenye utindio wa ubongo anaweza akaendelea na wimbo wa "kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu" kwa timu 5 zilizocheza kombe ilo kutinga group stage kwa kishindo na kuziondoa zile zilizocheza klabu bingwa msimu ulioisha!
Na zimeingia kwa ushindi wa 100% na sio ushindi wa "Mungu saidia".
Kitu icho kinadhihirisha ubora wa timu husika hivyo heshima iwepo na ichukue mkondo wake!
Mwambie kunguni huyo hana akiliHapo kilaza nani?View attachment 2769747
Naunga mkono hoja 👍👏Ni yule tu mwenye utindio wa ubongo anaweza akaendelea na wimbo wa "kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu" kwa timu 5 zilizocheza kombe ilo kutinga group stage kwa kishindo na kuziondoa zile zilizocheza klabu bingwa msimu ulioisha!
Na zimeingia kwa ushindi wa 100% na sio ushindi wa "Mungu saidia".
Kitu icho kinadhihirisha ubora wa timu husika hivyo heshima iwepo na ichukue mkondo wake!
Haupo vizuri katika kutoa taarifaNi yule tu mwenye utindio wa ubongo anaweza akaendelea na wimbo wa "kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu" kwa timu 5 zilizocheza kombe ilo kutinga group stage kwa kishindo na kuziondoa zile zilizocheza klabu bingwa msimu ulioisha!
Na zimeingia kwa ushindi wa 100% na sio ushindi wa "Mungu saidia".
Kitu icho kinadhihirisha ubora wa timu husika hivyo heshima iwepo na ichukue mkondo wake!