Ni yule tu mwenye utindio wa ubongo anaweza akaendelea na wimbo wa "kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu" kwa timu 5 zilizocheza kombe ilo kutinga group stage kwa kishindo na kuziondoa zile zilizocheza klabu bingwa msimu ulioisha!
Na zimeingia kwa ushindi wa 100% na sio ushindi wa "Mungu saidia".
Kitu icho kinadhihirisha ubora wa timu husika hivyo heshima iwepo na ichukue mkondo wake!
Na zimeingia kwa ushindi wa 100% na sio ushindi wa "Mungu saidia".
Kitu icho kinadhihirisha ubora wa timu husika hivyo heshima iwepo na ichukue mkondo wake!