United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Mashabiki wa timu ya taifa ya France mbona mmejikausha kana kwamba sio mabigwa watetezi wa kombe la Dunia amkeni mliko jificha tusiende mbali sana France ndio bigwa mtetezi wa kombe hili kwahyo lazima tutembee kifua mbele sjataka
kuandika rekodi za France kweny kombe la Dunia nitawavuruga watu vichwa labda Brazil wataupa msaada wa rekodi zetu maana tuliwapusa kweny fainali ya 98 tukawapasua na kweny mechi ya Robo fainali mwaka 2006 pale Germany mzee mzima zizoo alimtia kidali Ronadhniho gaucho
France tupo kundi D tukiwa pamoja na timu za Australia, Denmark pamoja na Tunisia kutoka Africa
Katika timu ambayo tumepata kundi kidogo lenye unafuu ukilinganisha na wengine ni France
Kweny kundi letu mpizani mkubwa namuona ni Denmark na Australia hawa ni wapinzani ambao tulikua nao kweny kundi moja mwaka 2018
Kilichobadilika hapa ni Tunisia pekee
Kuhusu majeruhi inajulikana chirspoher nkuku ndio kapata majerah ila nafasi yake imechukuliwa na Marcus Thuram mtoto wa nyota wa zamani wa timu ya taifa ya France
Ratiba ya mechi za France ipo kama ivi
1 22/11/2022
France vs Australia 7.00 pm Kwa saa za Africa mashariki mechi itapigwa kweny uwanja wa Al janoub stadium
2 26/11/2022
France vs Denmark 16.00 pm Kwa saa za Africa mashariki mechi itapigwa kweny uwanja wa 974
3 30/11/2022
Tunisia vs France 3.00 pm Kwa saa za Africa mashariki mechi itapigwa kweny uwanja wa education city hii ndio itakua mechi ya mwisho ya makundi ya France
kuandika rekodi za France kweny kombe la Dunia nitawavuruga watu vichwa labda Brazil wataupa msaada wa rekodi zetu maana tuliwapusa kweny fainali ya 98 tukawapasua na kweny mechi ya Robo fainali mwaka 2006 pale Germany mzee mzima zizoo alimtia kidali Ronadhniho gaucho
France tupo kundi D tukiwa pamoja na timu za Australia, Denmark pamoja na Tunisia kutoka Africa
Katika timu ambayo tumepata kundi kidogo lenye unafuu ukilinganisha na wengine ni France
Kweny kundi letu mpizani mkubwa namuona ni Denmark na Australia hawa ni wapinzani ambao tulikua nao kweny kundi moja mwaka 2018
Kilichobadilika hapa ni Tunisia pekee
Kuhusu majeruhi inajulikana chirspoher nkuku ndio kapata majerah ila nafasi yake imechukuliwa na Marcus Thuram mtoto wa nyota wa zamani wa timu ya taifa ya France
Ratiba ya mechi za France ipo kama ivi
1 22/11/2022
France vs Australia 7.00 pm Kwa saa za Africa mashariki mechi itapigwa kweny uwanja wa Al janoub stadium
2 26/11/2022
France vs Denmark 16.00 pm Kwa saa za Africa mashariki mechi itapigwa kweny uwanja wa 974
3 30/11/2022
Tunisia vs France 3.00 pm Kwa saa za Africa mashariki mechi itapigwa kweny uwanja wa education city hii ndio itakua mechi ya mwisho ya makundi ya France