Timu Gani Itapewa Nafasi ya Uingereza Baada ya Kujitoa Euro?

Timu Gani Itapewa Nafasi ya Uingereza Baada ya Kujitoa Euro?

UNAJUA KUWA MORROCO SIO MWANACHAMA WA UMOJA WA AFRIKA (AU) LAKINI ANASHIRIKI MATAIFA YA AFRIKA.......
 
EU ni umoja wa kiuchumi wakati UEFA ni umoja wa mashirikisho ya mpira wa miguu. Kuna nchi nyingi ni wanachama wa UEFA lakini si wanachama wa EU. Mfano ni Urusi, Uturuki na Albania.
 
Kwani shule hazijafunguliwa bado. Maana hawa watoto aa siku hizi wanamjua lil Wayne tu
 
Baada ya Waingereza Kupiga Kura ya Kujitoa Euro na huku wamefuza 16 BORA nawasiliasha mada hii chokonozi
kuna tofauti kati ya bara la ulaya na umoja wa ulaya....pia UEFA haihusiani na european union ndio mana inashirikisha mpk nchi za russia,turkey,albania,kazakhstan mpaka israel ni mwanachama wa UEFA pia mkuu so mkuu usichanganye hapo
 
EU ni umoja wa kiuchumi wakati UEFA ni umoja wa mashirikisho ya mpira wa miguu. Kuna nchi nyingi ni wanachama wa UEFA lakini si wanachama wa EU. Mfano ni Urusi, Uturuki na Albania.
safiiiiiiiiiiiiiii
 
kuna tofauti kati ya bara la ulaya na umoja wa ulaya....pia UEFA haihusiani na european union ndio mana inashirikisha mpk nchi za russia,turkey,albania,kazakhstan mpaka israel ni mwanachama wa UEFA pia mkuu so mkuu usichanganye hapo
safiiiiiiiii kun awatu wanazani kuuliza ni UZUZU
 
Makao makuu ya European Union yako Brussels, halafu unatuambia Belgium sio mwanachama wa European Union. SMDH.
kuna watu humu hawajui kabisa siasa za nje,bora umemsaidia,hawajui kama Russia pia inacheza uefa ila haimo EU
 
Back
Top Bottom