NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Azam Fc wamekua Bora kwa kila kitu kuanzia usajili mpaka arrangement ya muda na wachezaji kuungana kwa pamoja na kuanza mazoezi.
Azam FC wameonesha ukomavu mkubwa sana katika siasa za Simba na Yanga.
NALIA NGWENA nimeshangazwa sana na Simba SC kwenda Uturuki kwa mafungu mafungu kama kambi za wasabato, hata hizo kambi pia zina mtiririko maalumu.
Hapa ndipo Kocha atakapokosa Kombe utasikia anasema kuwa, "Hatukua na muda wakutosha katika maandalizi!"
Ngoja ligi ianze.
Azam FC wameonesha ukomavu mkubwa sana katika siasa za Simba na Yanga.
NALIA NGWENA nimeshangazwa sana na Simba SC kwenda Uturuki kwa mafungu mafungu kama kambi za wasabato, hata hizo kambi pia zina mtiririko maalumu.
Hapa ndipo Kocha atakapokosa Kombe utasikia anasema kuwa, "Hatukua na muda wakutosha katika maandalizi!"
Ngoja ligi ianze.