samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Jumamosi si mbali wataanza kupoteana pale watakapopigwa za kutosha Congo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu sana kushiriki mashindano mengi namna hii kwa wakati mmoja na kubaki salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu sio kutema ishu ni uwingi wa Mashindano na umuhimu wake katika malengo ya timu.
Roho mbaya fc...gongo wazi fc...ombaomba fc..mbutembute fcπππ..mambo yasiyowahusu yanawawashia nini???Mlianza na mbabane..mkaja nkana..juzi mmeamia kwa Waarabu Jumamosi mnahamia congo...tunawafirimba mashabiki wa gongowazi na hao wacongo kama tulivyowafirimba huko nyuma...pambaneni na ufukara wenu...kamtafuteni makambo kwanza nasikia katoroka kambini kisa njaaJumamosi si mbali wataanza kupoteana pale watakapopigwa za kutosha Congo
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kufungwa ndio mnakubali kuwa Yanga ilipeleka kikosi B Zanzibar kabla ya hapo mlikuwa mnapiga kelele kuwa ile ni Yanga kamili na sio kikosi B. Ama kweli mwaka huu mtataga.Ishu sio kutema ishu ni uwingi wa Mashindano na umuhimu wake katika malengo ya timu.
Ndio maama Yanga waliamua kupeleka kikosi B kwenye Mapinduzi Cup.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kusikia hivyo hivyo. Report kamili utaipata tarehe 16.Roho mbaya fc...gongo wazi fc...ombaomba fc..mbutembute fc[emoji23][emoji23][emoji23]..mambo yasiyowahusu yanawawashia nini???Mlianza na mbabane..mkaja nkana..juzi mmeamia kwa Waarabu Jumamosi mnahamia congo...tunawafirimba mashabiki wa gongowazi na hao wacongo kama tulivyowafirimba huko nyuma...pambaneni na ufukara wenu...kamtafuteni makambo kwanza nasikia katoroka kambini kisa njaa
Si tukifungwa nyie yanawahusu nini...Wafungwe nkana waumie mashabiki wa gongowazi fc...wafungwe Waarabu waumie mashabiki wa ombaomba fcππππ
Hawa wamefail asubuhi tu,Mashujaa......hata Caf ni watalii tuNilisema humu timu chache sana zinaweza kuhimili mikiki yote hiyo na kufanya vizuri,hata uwe na kikosi kipana namna gani,Timu moja imeanza kudondosha mojamoja yaani Simba SC,Yanga waliwahi kidogo kujitahidi walishinda TPL,FA cup na wakawa kwenye mashindano ya CAF wakaenda Sportpesa,walisemwa sana hawawezi kitu lakini walikuwa wanapambana kwa miaka 3,au 4 hivi.Ngoja tuwaombee wekundu wa msimbazi nao wapambane.YES WE CAN
Congo wanaenda kuvimbishwa nyingi tu
Mikia hawaeleweki na wala hawajielewiBaada ya kufungwa ndio mnakubali kuwa Yanga ilipeleka kikosi B Zanzibar kabla ya hapo mlikuwa mnapiga kelele kuwa ile ni Yanga kamili na sio kikosi B. Ama kweli mwaka huu mtataga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnapiga kelele ndio kauli gani hiyo ?Baada ya kufungwa ndio mnakubali kuwa Yanga ilipeleka kikosi B Zanzibar kabla ya hapo mlikuwa mnapiga kelele kuwa ile ni Yanga kamili na sio kikosi B. Ama kweli mwaka huu mtataga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia wote ni MbumbumbuMnapiga kelele ndio kauli gani hiyo ?
Hebu tuliza jazba wakati unapozungumza na watu wenye akili zao.
Mnapiga kelele. Mimi ulinisikisikia nikipiga kelele ?
Sent using Jamii Forums mobile app
MIKIA FC walishashindwa from day 1. ligi wameweka viporo milioni.Nilisema humu timu chache sana zinaweza kuhimili mikiki yote hiyo na kufanya vizuri,hata uwe na kikosi kipana namna gani,Timu moja imeanza kudondosha mojamoja yaani Simba SC,Yanga waliwahi kidogo kujitahidi walishinda TPL,FA cup na wakawa kwenye mashindano ya CAF wakaenda Sportpesa,walisemwa sana hawawezi kitu lakini walikuwa wanapambana kwa miaka 3,au 4 hivi.Ngoja tuwaombee wekundu wa msimbazi nao wapambane.YES WE CAN
Kushiri CAF na kulamba 1.3 billion hatua ya makundi na kulamba nyingine 1.56 billion Kucheza robo fainali unaita utalii! Mmelogwa nyie vyura πΈHawa wamefail asubuhi tu,Mashujaa......hata Caf ni watalii tu