mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Al Ahly wamefika lini hapa Tz!!! Hilo nalo umejiuliza??????Najiuliza sana hili linalotokea ligi ya Tanzania kwamba ati timu inapewa wiki nzima kujiandaa kwa mechi
hivi ni kwa nini hasa
au miundo mbinu au uchawi au lishe duni?