The Hurricane
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 760
- 1,048
Ni Howard Webb sio Tim Howard huyu alikuwa mchezaji wa Everton kama sijakoseaMan united...Tim Howard..
Dyabala huyoooo. Mbeleko fc Barcelona haoooo.uko sahihi mkuu nishaangalia mechi za BARCELONA saaana ila sijaona inapobebwa mfano mechi ya PSG nimerudia kuiangalia zaid ya mara 30 ila sijaona wapi Barca kabebwa NIKAKAA NIKATAFAKARI NIKAGUNDUA MTI WENYE MATUNDA NDIO UNAPIGWA MAWE ila nilipokuja kwa MADRID kuangalia mechi zake ile kufungua youtube hata dakika haijaisha View attachment 498954
KIUKWELI WASHABIKI WA FC BQRCELONA HATUJAKOSEA KUISHANGILIA TIMU YETU
mi naona ni Man U wakati game zao anachezesha yule mshenz webu. ila barcelona mi sioni kama kweli marefa zaidi ya 5 Kuibeba nachojua wakati mwingine ni refa kupitiwa tu na utamu wa burudani uwanjani vijana wanagusa bhana mpaka huoni makosa yani
Mbona United alikuwa nyumbanikila timu iliyocheza spain inalalamika timu mwenyeji kubebwa.
Siwezi kusahau kuna game ya Man utd vs Madrid Nani alipewa kadi ya Nyekundu ya kiajabu sana
Man utd akalala 2-1
Wanabebwa ndio maana wana mafanikoAhahaa ila mm kinachonishangazaga hizo team zinazobebwa zote zina mafaniki saana..kiukweli ata uwezo kimpira wanao saana ila ndo zikibebwa kidogo tu basi wanaharbu CV sio kwamba wengne hawabebwi ila wao na mafanikio yao ndo wanaoneknaga wanabebwa
naona umekuja na ushahidi kabisa,sidhani kama Yanga wanabebwa ni aina ya mpira tu wanaocheza inakua rahisi wachezaji kufanyiwa madhambi refa akitoa kadi watu wanalalamika.
Na vipi kuhusu mtani anataka pointi za Huruma?
Endeleen kushabikia bebwa fc na ndio maana mbeleko zikavunjikia kwa [HASHTAG]#juve[/HASHTAG] na bado real keshouko sahihi mkuu nishaangalia mechi za BARCELONA saaana ila sijaona inapobebwa mfano mechi ya PSG nimerudia kuiangalia zaid ya mara 30 ila sijaona wapi Barca kabebwa NIKAKAA NIKATAFAKARI NIKAGUNDUA MTI WENYE MATUNDA NDIO UNAPIGWA MAWE ila nilipokuja kwa MADRID kuangalia mechi zake ile kufungua youtube hata dakika haijaisha View attachment 498954
KIUKWELI WASHABIKI WA FC BQRCELONA HATUJAKOSEA KUISHANGILIA TIMU YETU
Mkuu Brazil wamerudi tena na tiyari wameshaqualify kombe la dunia kwa Amerika ya kusini.Brazil walizoea kubebwa bebwa. Wasahau tena ubingwa wa kubebwa......wakati wa kubebwa umepitwa na wakati tena. Mjerumani alimshikisha adabu aliona huyu nyanya kaishazoea kuwaonea wakina PANAMA, montenegro,haiti,honduras. Akikutana na wakubwa anabebwa mno.
HaterI hates Real, Man u & Barca ase
Kwa Tz ni wazi NDALA FC.Haitakua vibaya tukitaja timu maarufu za mpira wa miguu zinazoongozwa kubebwa na marefa duniani iwe Tanzania au popote Pale.
Butua butua haiwezi mshawishi mchezaji wa timu pinzani akuchezee rafu!naona umekuja na ushahidi kabisa,sidhani kama Yanga wanabebwa ni aina ya mpira tu wanaocheza inakua rahisi wachezaji kufanyiwa madhambi refa akitoa kadi watu wanalalamika.
Na vipi kuhusu mtani anataka pointi za Huruma?
huyo tim howard ni golikipa mmarekaniBaada ya Howard kustaafu Man utd haina mtetezi tena.
Kwa kifupi wameshajifunza Elimu ya kujitegemea