Timu Namba 1 Kenya Gor Mahia haijalipa wachezaji miezi minne, haiwezi hata kuhudumia maji wakati wa mazoezi

Timu Namba 1 Kenya Gor Mahia haijalipa wachezaji miezi minne, haiwezi hata kuhudumia maji wakati wa mazoezi

Hizi ziko underconstruction pia... Mombasa stadium
images-23.jpg
 
Hakuna siku Kenya itashindana na nchi maskini kama Tz[emoji81][emoji81][emoji706][emoji706][emoji706][emoji119]
 
Viwanja vya mpira vilivyopo Tanzania tangu karne ya 20 eti ndo wakumbaf wanajengewa karne hii ya 21 halafu wanatakupigia kelele humu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ukitaka kuona vituko vya Viwanja vyao chungulia farmers ligi yao.
 
Viwanja vya mpira vilivyopo Tanzania tangu karne ya 20 eti ndo wakumbaf wanajengewa karne hii ya 21 halafu wanatakupigia kelele humu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ukitaka kuona vituko vya Viwanja vyao chungulia farmers ligi yao.
Karne hi thread ya wali kipao mbele.
 
Viwanja vya mpira vilivyopo Tanzania tangu karne ya 20 eti ndo wakumbaf wanajengewa karne hii ya 21 halafu wanatakupigia kelele humu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ukitaka kuona vituko vya Viwanja vyao chungulia farmers ligi yao.
Post moja pekee....Tz hakuna viwanja[emoji23][emoji23][emoji706]
 
Hizo ni ranks kwa team za taifa hapa zinazungumziwa clubs
Club yenyewe mumejaza foreigners,
First 11 karibu yote ya Simba si watanzania!!!
Reason your national TEAM iko down kama mkia.
 
Viwanja vya mpira vilivyopo Tanzania tangu karne ya 20 eti ndo wakumbaf wanajengewa karne hii ya 21 halafu wanatakupigia kelele humu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ukitaka kuona vituko vya Viwanja vyao chungulia farmers ligi yao.

IMG_0230.jpg

What they Plan,
Vs What they can Actually do [emoji3][emoji3][emoji3]
IMG_0231.jpg
 
Club yenyewe mumejaza foreigners,
First 11 karibu yote ya Simba si watanzania!!!
Reason your national TEAM iko down kama mkia.
Manura ... Kapombe.... Shabalala .... Boko

Wote hao Ni first eleven na Ni watanzania
 
Back
Top Bottom