Timu nane zilizoingia robo fainaili Kombe la Shirikisho Afrika hizi hapa

Yanga imefika patamu nawatakia safari njema ya mapemaaaa kurudi kucheza Na ndanda
 
Yanga imefika patamu nawatakia safari njema ya mapemaaaa kurudi kucheza Na ndanda
Hizo safari njema zenu huwaga haziishi tu? Maana mlianza mapema kabisa tulipoenda kule Mauritius, tukapeta mkasema mwishowetu kwa Apr, tukapeta tena, mkaja tena kwa waarabu tukajikwaa kidogo tukaangukia kwa Sagrada. Mkasema hivyo hivyo tumevuka salama ....mtabakia hivyo hivyo kuombea mabaya lakin sisi tunasema hivi DAIMA MBELE NYUMA MWIKO...mtasubiri sana kwa YANGA hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…