NAAAAAAAAAAAM HASWAAAAOn trending
Na mimi nasubiria kuona timu inayo ongoza kwa malalamiko! Malalamimo dhidi ya viwanja vya kuchezea, waamuzi, wakuu wa mikoa, Jii esi emu, wachezaji wao, kocha wao, nk.Nasubiri timu iliyopewa penalties nyingi na kadi nyingi nyekundu kwa wapinzani wake.
Inamana katika mechi 12 mmecheza viwanja hivyo viwili tu?Kwa ule uwanja wa dodoma jiji na mtibwa unataka wachezaji wapige pasi mna fujo sana au hamjazoea vitu vizuri.
Nchi ngumu sana hii ongereni vijana wa yangaTukiwa tunaendelea na ligue ya NBC kwenye mzunguko wa 13 hatimaye takwimu za timu ambazo zinapiga pasi nyingi uwanjani pia zimetolewa Kama ifuatavyo
1. Young Africans ___pasi .5130
2. Azam fc ____pasi .3957
3. Simba fc ______pasi. 3500
4. Coastal union. ___pasi 3263
5. Mtibwa sugar_____pasi 3081
6. Ruvu shooting ____pasi 3063
Je ushindi unayoipata timu yako inauhalisia na pasi inazotengeneza?
View attachment 2094158