Timu ya Al Ahly wapitishia mizigo dirishani badala ya mlangoni

Timu ya Al Ahly wapitishia mizigo dirishani badala ya mlangoni

Madumbikaya

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2018
Posts
639
Reaction score
1,919
Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu
Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo hazikutosha

Maafisa wa Al ahly wameonekana wanasubiri gari ya nne nyingine naona hii itakuwa kali ya mwaka

Kumbuka siku ya maandalizi ni moja tu imebaki yaani ni leo tu ,Watu wanabeba mizigo iliyopitiliza mpaka wanakosa nafasi za kukaa wenyewe

Cha kushangaza na kusikitisha ni pale waarabu walipoogopa kupitishia mabegi mlangoni na kuamua kupitishia dirashani,Mwandishi amejitahidi kuwaonyesha mlango wa coastal ambao upo wazi na mkubwa lakini bado akabaki mdomo wazi kwa kinachoendelea kwa waarabu kuogopa kutumia mlango wa coastal na kuamua kupitishia mabegi dirishani

Waarabu wanaogopa mlango wa coastal na hizi ndizo imani za Afrika,Mpira wa Afrika bado una safari ndefu na unaamini katila ulozi na uchawi

Tumezoea Al ahly wanasafiri na majaba , maplastic na mapipa makubwa na kweli wamekuja nayo lakini wamekuja na vituko vya kuwa na mizigo mingi ambayo hata ungeleta fuso isingetosha

Kilichonichekesha na hata kuwashangaza waandishi wa habari ni kitendo cha kuja na masanduku ambayo huwezi kuyasukuma kwa vifaa vya airport bali ni kwa kuyaburuza ambayo waliyapakia kwenye Noah
 
Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu
Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo hazikutosha

Maafisa wa Al ahly wameonekana wanasubiri gari ya nne nyingine naona hii itakuwa kali ya mwaka

Kumbuka siku ya maandalizi ni moja tu imebaki yaani ni leo tu ,Watu wanabeba mizigo iliyopitiliza mpaka wanakosa nafasi za kukaa wenyewe

Cha kushangaza na kusikitisha ni pale waarabu walipoogopa kupitishia mabegi mlangoni na kuamua kupitishia dirashani,Mwandishi amejitahidi kuwaonyesha mlango wa coastal ambao upo wazi na mkubwa lakini bado akabaki mdomo wazi kwa kinachoendelea kwa waarabu kuogopa kutumia mlango wa coastal na kuamua kupitishia mabegi dirishani

Waarabu wanaogopa mlango wa coastal na hizi ndizo imani za Afrika,Mpira wa Afrika bado una safari ndefu na unaamini katila ulozi na uchawi

Tumezoea Al ahly wanasafiri na majaba , maplastic na mapipa makubwa na kweli wamekuja nayo lakini wamekuja na vituko vya kuwa na mizigo mingi ambayo hata ungeleta fuso isingetosha

Kilichonichekesha na hata kuwashangaza waandishi wa habari ni kitendo cha kuja na masanduku ambayo huwezi kuyasukuma kwa vifaa vya airport bali ni kwa kuyaburuza ambayo waliyapakia kwenye Noah
 
Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu
Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo hazikutosha

Maafisa wa Al ahly wameonekana wanasubiri gari ya nne nyingine naona hii itakuwa kali ya mwaka

Kumbuka siku ya maandalizi ni moja tu imebaki yaani ni leo tu ,Watu wanabeba mizigo iliyopitiliza mpaka wanakosa nafasi za kukaa wenyewe

Cha kushangaza na kusikitisha ni pale waarabu walipoogopa kupitishia mabegi mlangoni na kuamua kupitishia dirashani,Mwandishi amejitahidi kuwaonyesha mlango wa coastal ambao upo wazi na mkubwa lakini bado akabaki mdomo wazi kwa kinachoendelea kwa waarabu kuogopa kutumia mlango wa coastal na kuamua kupitishia mabegi dirishani

Waarabu wanaogopa mlango wa coastal na hizi ndizo imani za Afrika,Mpira wa Afrika bado una safari ndefu na unaamini katila ulozi na uchawi

Tumezoea Al ahly wanasafiri na majaba , maplastic na mapipa makubwa na kweli wamekuja nayo lakini wamekuja na vituko vya kuwa na mizigo mingi ambayo hata ungeleta fuso isingetosha

Kilichonichekesha na hata kuwashangaza waandishi wa habari ni kitendo cha kuja na masanduku ambayo huwezi kuyasukuma kwa vifaa vya airport bali ni kwa kuyaburuza ambayo waliyapakia kwenye Noah
Waandishi wa habari uchwara utawajua tu. Hapo kuna kipi cha ajabu?
 
Na ndo tatizo la kuwaza uchawi, hata ukimtuma mwanao unga wakati anaingiza ndani ukamwagika kidogo mlangoni ukalala bila kuona asubuhi ukiamka unapata hofu kuwa wachawi wamekuja na kumwaga unga unga.
 
Back
Top Bottom