Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Biashara United Mara wamefika mkoani Tabora na kupokelewa kwa kipigo asubuhi hii wakati wanaenda kwenye pre match Meeting.
Technical director Omary Madenge ameshambuliwa sana yupo kwenye hali mbaya lakini pia amenyang’anywa baadhi vitu alivyokuwa navyo.
Pamoja na hayo viongozi wawili wa Biashara United Mara hawajulikani walipo, wamechukuliwa na kupelekwa kusikojulikana.
Kwasasa gari iliyovamiwa na kushambuliwa ipo Polisi lakini hakuna ushirikiano wowote wa Polisi. Taarifa zinaonesha kuwa hakuna ulinzi wowote ambao Biashara United watapewa.
Technical director Omary Madenge ameshambuliwa sana yupo kwenye hali mbaya lakini pia amenyang’anywa baadhi vitu alivyokuwa navyo.
Pamoja na hayo viongozi wawili wa Biashara United Mara hawajulikani walipo, wamechukuliwa na kupelekwa kusikojulikana.
Kwasasa gari iliyovamiwa na kushambuliwa ipo Polisi lakini hakuna ushirikiano wowote wa Polisi. Taarifa zinaonesha kuwa hakuna ulinzi wowote ambao Biashara United watapewa.