Timu ya Biashara United imeshambuliwa vibaya sana. Viongozi wao wawili hawajulikani walipo

Timu ya Biashara United imeshambuliwa vibaya sana. Viongozi wao wawili hawajulikani walipo

Huu sasa sio mpira ni mambo mengine na upuuzi huu lazima upingwe kwa nguvu zote hauna afya kwa soka letu na wahusika wachukuliwe hatua kali
 
Mwenzetu wewe viroba unapatia wapi?
Kabla kushupaza fuvu na kujihisi una akili nyingi sana inapaswa uzingatie kuwa kuna option ya editing.

Alipoandika uzi mwanzo iliishia kwenye kushambuliwa tu bila details zozote kupelelekea comment yangu.

Details zimekuja baada ya comment ishaandikwa.
Acha ujua wewe,ukisikia mtu kisa kashambuliwa na yuko mahututi,na gari limeharibiwa wewe unapata picha gani?,kwamba ni shambulio la kiroho au maneno?
 
Kabla kushupaza fuvu na kujihisi una akili nyingi sana inapaswa uzingatie kuwa kuna option ya editing.

Alipoandika uzi mwanzo iliishia kwenye kushambuliwa tu bila details zozote kupelelekea comment yangu.

Details zimekuja baada ya comment ishaandikwa.
Ukiona hivyo ulipaswa kuukwoti uzi ili tuelewe usemacho,tofauti na hilo utaendelea kuonekana mtumiaji wa viroba
 
Wahusika wote wawajibishwe vikali kwa mujibu wa sheria. Tabia gani hizi
 
Tabora nao walishambuliwa Mara, mpaka Mashabiki kuchomolewa uwanjani mechi ikiendelea.

Ulikua wapi kutoa na hizo taarifa mkuu?
 
Mnaofatilia mamipira ya bongo sidhani kama akili zenu zipo sawasawa. Unaanzaje kufatilia upuuzi kama huu. Fuatilieni Euro 2024 huko.
Mm mwenyew nashangaa sana mtu na akili zake anafatilia uhuni wa bongo viwanja vibovu, marefa wabovu, viongoz wabovu, mashabiki hawajitambui
 
Playoffs zichezwe neutral ground alafu iwe mechi moja tu, hao Tabora wanang'ang'ania kubaki ligi kuu wakati uwezo wao ni mdogo hizo nguvu wanatumia kubaki wangewekeza kwenye timu wasingefika playoffs
 
Hilo lilikuwa ni swala muda kwa kilichotokea mara kwa tabora united game 1
 
Back
Top Bottom