Kuna watu historically ni ma hooligans kushinda England ?Mnaofatilia mamipira ya bongo sidhani kama akili zenu zipo sawasawa. Unaanzaje kufatilia upuuzi kama huu. Fuatilieni Euro 2024 huko.
Kabla kushupaza fuvu na kujihisi una akili nyingi sana inapaswa uzingatie kuwa kuna option ya editing.Mwenzetu wewe viroba unapatia wapi?
Acha ujua wewe,ukisikia mtu kisa kashambuliwa na yuko mahututi,na gari limeharibiwa wewe unapata picha gani?,kwamba ni shambulio la kiroho au maneno?
Ukiona hivyo ulipaswa kuukwoti uzi ili tuelewe usemacho,tofauti na hilo utaendelea kuonekana mtumiaji wa virobaKabla kushupaza fuvu na kujihisi una akili nyingi sana inapaswa uzingatie kuwa kuna option ya editing.
Alipoandika uzi mwanzo iliishia kwenye kushambuliwa tu bila details zozote kupelelekea comment yangu.
Details zimekuja baada ya comment ishaandikwa.
😄🤣😂Acha ujua wewe,ukisikia mtu kisa kashambuliwa na yuko mahututi,na gari limeharibiwa wewe unapata picha gani?,kwamba ni shambulio la kiroho au maneno?
Mm mwenyew nashangaa sana mtu na akili zake anafatilia uhuni wa bongo viwanja vibovu, marefa wabovu, viongoz wabovu, mashabiki hawajitambuiMnaofatilia mamipira ya bongo sidhani kama akili zenu zipo sawasawa. Unaanzaje kufatilia upuuzi kama huu. Fuatilieni Euro 2024 huko.
Soka la bonga unaweza kutapika kabisaMm mwenyew nashangaa sana mtu na akili zake anafatilia uhuni wa bongo viwanja vibovu, marefa wabovu, viongoz wabovu, mashabiki hawajitambui