Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Watanzania Felix Simbu, Failuna Matanga na Gabriel Geay, wamefanikiwa kufuzu viwango vya Olimpiki na wanatarajia kuondoka nchini Julai 27, 2021 kuelekea Japan kwa ajili ya mashindano hayo yatakayofanyika mwezi Agosti
Timu ya Taifa ya Riadha ya Tanzania imekabidhiwa bendera ya Taifa, tayari kwa mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika nchini Japan Agosti 2021
Timu ya Taifa ya Riadha ya Tanzania imekabidhiwa bendera ya Taifa, tayari kwa mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika nchini Japan Agosti 2021