bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Timu anayochezea mtanzania Mbwana Sammata leo inekutana na kipigo safi cha goli 6 kwa bila dhidi ya timu Ya Oostende
Sammata ambaye aliyecheza dk zote 90 ameshindwa kuinusuru timu yake dhidi ya kichapo hicho.
Vichapo vingine Vikubwa katika historia
Man utd 8 Arsenal 2
Sammata ambaye aliyecheza dk zote 90 ameshindwa kuinusuru timu yake dhidi ya kichapo hicho.
Vichapo vingine Vikubwa katika historia
Man utd 8 Arsenal 2