Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm cjamwelewa kbsMbona husomeki!!?.
Mi naona kwa mujibu wa wadau humu timu yake imefungwa 1 samata kafungwa 5 maana sioni uhusiano wa wa timu yake kulambwa 6 na kushuka kiwango chake !na sijui wanatumia vigezo gani kusema kashuka kiwango au watu hamjui maana ta yeam?Kat ya hzo 6 samata kalambwa 3
Hatujui sababu ni nini ila ajitathmini upya ulaya sio kama bongo ukishuka kiwango tu msimu wa usajili wanatafuta mbadala wakoUa ndio mnataka kusema kiwango kimeshuka tangu aliponunua lile benzi jekundu!?
Katika kumbukumbu zako usisahau kwamba Barca alishapigwa 7 na MadridHata Madrid aliwahi pigwa 6 bila
Real Madrid 6-0 Barca
Kigezo gani cha kitaaluma ya Mpira kimewaonyesha ninyi huku TZ kwàmba kiwango cha Samata kimeshukaHatujui sababu ni nini ila ajitathmini upya ulaya sio kama bongo ukishuka kiwango tu msimu wa usajili wanatafuta mbadala wako
Angalia tena ulichoandika...
Samatta kiwango kimeshuka sijui tatizo nini... Jana kacheza dk90 ila ht goli hajafunga lile jamaa jamaa la Ugiriki likiingia dk20 tu zinatosha kufunga.
ajiangalie upya ili asonge mbele zaidi
Hata Simba alishakula mkono huo huo.Yanga pia aliwai kula mkono
[emoji2] [emoji2] [emoji2] aya bana timu ya sammata yashinda 6 achaa maneno yako ndugu kuna uwongo hapo tatizo bana Tz msema ukweli anachukiwa muongo muongo anapendwa...yaani mleta uzi kama ana bifu na mafanikio ya samata vile,watanzania tuna matatizo ya kuzaliwa