JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Hiyo comment yako Ni ya kunyanyapaa, hiyo sauti kapewa na muumba Kama ulivyopewa wewe mkuuHongera zao hasa Clara Luvanga mwenye sauti yenye Besi kama Halima Mdee
Wala sijamnyanyapaa, maana nimemfananisha na mtu wa jinsia yakeHiyo comment yako Ni ya kunyanyapaa, hiyo sauti kapewa na muumba Kama ulivyopewa wewe mkuu
Kuna mdada mmoja hivi nataka kumjua kidume anayemfyukua nimjengee sanamu pale uwanja wa Benjamin MkapaSafi sana dada zangu wazuri
Ila tofauti yao na Clara ni moja.... Clara ni mrembo kama Joash Onyango wakati Halima anafanana na GwajimaHongera zao hasa Clara Luvanga mwenye sauti yenye Besi kama Halima Mdee
Cameroon wamelalamika kwamba Tanzania inachezesha wanaume. Ishu ngumu sana.Ila tofauti yao na Clara ni moja.... Clara ni mrembo kama Joash Onyango wakati Halima anafanana na Gwajima