eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 314
Dharau mbaya ujue!hivi Simba kudharau kombe la FA na kukubali kufungwa na Mashujaa,hii inamaanisha lazima Simba ichukue ubingwa wa ligi kuu ili iwakilishe nchi mechi za kimataifa.Kama ni hivyo itabidi Simba wakubali kua watumwa kwa kuwa wakiteleza na hill kombe,ndo basi tens najua utabisha lakini ndo ukweli uliopo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app