mansoorsaid
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 1,498
- 286
mbona na wewe siku nyingine demu wako unambandulia sakafuni au bafuni au ktk makochi na ikibidi hata ktk pori lenye nyasi? muhimu mtalimbo ufanye kazi yake barabara hivyo simba kutumia ofisi ya kapteni wa zamani wa jwtz hanspoppe hakuna tatizo ili mradi tu lile lengo kuu limetimia ambalo ni kutusajilia wachezaji. tofauti ya peter mwalyanzi na xavi hernabdez ni rangi tu na jiografia ila mziki wao una fanana na sipati picha dimba la juu akisimama cha pombe mkude huku dimba la chini akizunguka mwalyanzi huku mbele kukiwa na udambwidambwi wa akina okwi, messi na wengineo. kwa midfiled hii ya simba hakika mashabiki tutakuwa tunatapika mno uwanjani huku tukishuhudi mipira tukiwa tunakunywa wine na bisi meno yote 32 yakiwa nje
unamatatizo mkiambiwa ukweli ili lilekebishwi mnaleta maneno ya hovyo.
mchezaji atamjua hans pope mkimkorofisha na wachezaji wake watafanya mgomo