Timu ya Taifa Ethiopia ni imara, kutoa sare, Taifa stars ijipongeze

Timu ya Taifa Ethiopia ni imara, kutoa sare, Taifa stars ijipongeze

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Watanzania wengi wamekariri
Wanauchukulia team ya Taifa Ethiopia kizamani
Ethiopia walianzia kwenye project za vijana na Sasa inaanza kuwalipa kwenye senior team.

Ethiopia ni hivi majuzi kampiga Egypt The Pharaoh goli 2 bila

Taifa stars haijaifunga Ethiopia mechi 7 mfululizo, Sasa maajabu Gani yangetokea Jana.

Kwenye club level, team zao zinafanya vyema zikiwa na wachezaji aslimia 100 wa ndani
CBE imeitoa miamba ya soccer ya CS club Villa ya Uganda, tena akimpiga mke ndani
Na hawa CBE wana mechi na Yanga hapo ndo Watanganyika mtanielewa kwamba soccer la Ethiopia limekuwa

Ethiopia na team kama Mauritania, Shelyshels, n.k zimepanda Kwa haraka.

Nyie mpola hapa siasa nyingi
Hamasa za zima moto mtampiga Ethiopia?
Nchi haina Academy, michezo mashuleni haizingatiwi, viwanja vipovu,
Mtake kushindana na nchi zenye process nzuri
 
Ethiopia wala sio wazuri kama unavyojaribu kutuaminisha. Kocha aliweka mabeki wengi kwa timu kama hiyo, mwisho timu inabaki kuzuia. Hao Ethiopia ubora wao ni upi wakati wanazunguka na mpira tu.

Hao Sports Club Villa, ni vigogo wa wapi, timu imejichokea kweli kweli. Kwa walioangalia CECAFA walijionea. Hao CBE watapigwa na Yanga nje ndani.
 
Sisi bongo timu ya taifa tunaikuza sana kwa sababu ya simba na yanga.

Tunasahau kama simba na yanga zinacheza vizuri sababu ya wageni.

Ukisema yanga ama simba ipange wazawa tupu. Hata round ya kwanza ya CAF hazivuki.

Kwenye Taifa starz wazawa tupu wanacheza.. unaona mapungufu yao
 
Watanzania wengi wamekariri
Wanauchukulia team ya Taifa Ethiopia kizamani
Ethiopia walianzia kwenye project za vijana na Sasa inaanza kuwalipa kwenye senior team.

Ethiopia ni hivi majuzi kampiga Egypt The Pharaoh goli 2 bila

Taifa stars haijaifunga Ethiopia mechi 7 mfululizo, Sasa maajabu Gani yangetokea Jana.

Kwenye club level, team zao zinafanya vyema zikiwa na wachezaji aslimia 100 wa ndani
CBE imeitoa miamba ya soccer ya CS club Villa ya Uganda, tena akimpiga mke ndani
Na hawa CBE wana mechi na Yanga hapo ndo Watanganyika mtanielewa kwamba soccer la Ethiopia limekuwa

Ethiopia na team kama Mauritania, Shelyshels, n.k zimepanda Kwa haraka.

Nyie mpola hapa siasa nyingi
Hamasa za zima moto mtampiga Ethiopia?
Nchi haina Academy, michezo mashuleni haizingatiwi, viwanja vipovu,
Mtake kushindana na nchi zenye process nzuri
Wewe hata soka hujui. Hivi Ethiopia hao Wana uzuri Gani mpaka uwasifie ? Mimi naamini tutakwenda kuwafunga kwao. Walipata bahati tu Jana wangekufa hata tatu bila.
 
Ethiopia wala sio wazuri kama unavyojaribu kutuaminisha. Kocha aliweka mabeki wengi kwa timu kama hiyo, mwisho timu inabaki kuzuia. Hao Ethiopia ubora wao ni upi wakati wanazunguka na mpira tu.

Hao Sports Club Villa, ni vigogo wa wapi, timu imejichokea kweli kweli. Kwa walioangalia CECAFA walijionea. Hao CBE watapigwa na Yanga nje ndani.
Dogo angalia head to head kati ya Tanzania na Ethiopia kabla hujaja humu kuropoka. Mimi ni Mtanzania na naipenda Tanzania, lakini kujiliwaza kuwa sisi ni wazuri kuliko Ethiopia ni upumbavu!!!
 
Acha utoto wewe, kama huwezi kujadiliana humu nani kakwambia uchangie. Utakuwa unaishi kwa shemeji yako wewe.
Ahahahahaha! Nina watoto wanne. Mkubwa yuko Chuo Kikuu anaingia mwaka wa tatu mwaka huu kati ya minne ya Environmental Science and Management na hana mkopo kwa maana namlipia mimi 100% na siliilii kuhusu mikopo halafu naishi kwa shemeji!? Ahahahahaha! Bila shaka huyu ni shemeji mwema sana kuwa naye! Ahahahahaha!!
 
We umeujua mpira ukubwani
Mbinu ya Africa kucheza ugenini ndo hiyo
Subiri mechi ya marudiano kwao utapona moto wao
Timu bora inaonekana tu, Ethiopia Hawa hata kushambulia
Ahahahahaha! Nina watoto wanne. Mkubwa yuko Chuo Kikuu anaingia mwaka wa tatu mwaka huu kati ya minne ya Environmental Science and Management na hana mkopo kwa maana namlipia mimi 100% na siliilii kuhusu mikopo halafu naishi kwa shemeji!? Ahahahahaha! Bila shaka huyu ni shemeji mwema sana kuwa naye! Ahahahahaha!!
Mtu mwenye watoto wanne hawezi kuwa na akili kama zako. Kama jambo dogo tu linakufanya utoe Lugha mbaya. Labda hao watoto kama uliwaokota.
 
Ushabiki pembeni Ethiopia walikuwa Bora Ile mechi kuanzia uchezaji hadi stamina na hii nadhani ilitokana na kocha kutokuwa na uzoefu na mechi za kimataifa na uelewa mdogo wa soka la kimataifa
Next match Morris na Charles Momba waitwe tena haraka na wacheze
Samatta awepo na msuva na golini awe Manula tuache masihara
 
Ajabu ni kwamba wabongo wasiojua boli watapinga kama Ethiopia ilikuwa bora kuliko Tanzania mpira wetu bado sana hatuwezi kutumia uwanja wa nyumbani......kuna umuhimu wa kubadilisha mwalimu,Hemed hafai kuwa kocha inawezekana timu kufuzu afcon ni kazi ya Mgunda kwa kuwa yupo kwenye benchi,Timu za ligi kuu zinamshinda ndio ije kuwa timu ya Taifa kweli?

Mwalimu anahitajika haraka na wale wachezaji wakongwe kina Samatta,Msuva na wenzake warudishwe kwenye timu pengine tungepata matokeo mazuri kama wangekuwepo unajilinda ukiwa nyumbani vipi ukiwa ugenini?
 
Back
Top Bottom