Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Yani hawa Canada ndio wangekuwa taifa stars tv nyingi zingevunjwa leo [emoji1787][emoji1787]Yaani kama vile macho yao yapo kwenye makomwe.
Yanapiga minazi balaa.
Shenzi kabisa.
🤣🤣🤣🤣Kupiga mashuti mengi hakuongezi uwezekano wakushinda mechi. Hizo ni hisia zako na sio uhalisi wa mamboHakuna mechi nimeangalia imeniuma kama hii ya BELGIUM VS CANADA
Yani vijana wanapiga mpira wa uhakika mpira mtamu boli linatembea yani Ubelgiji leo ilikuwa kama IHEFU kwa Canada aisee 90min...
unaelewa maama ya goal atempts au umeshashiba mihogo unaanza kutubeulia hapa? wapi nimetaja shoots?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kupiga mashuti mengi hakuongezi uwezekano wakushinda mechi. Hizo ni hisia zako na sio uhalisi wa mambo
Sasa goal attempt itakuja bila kupiga mpiraunaelewa maama ya goal atempts au umeshashiba mihogo unaanza kutubeulia hapa? wapi nimetaja shoots?
Kawanunulie chai mkunywe pamoja.MkuuHakuna mechi nimeangalia imeniuma kama hii ya Ubelgiji dhidi ya Canada.
Yani vijana wanapiga mpira wa uhakika, mpira mtamu, boli linatembea, yaani Ubelgiji leo ilikuwa kama Ihefu kwa Canada aisee. Dakika 90 Canada hawapoi, hawapoi, yaani moto wameupeleka sana aisee. Shida inakuja pale mbele wana Kibu Denis wawili ambao sijui wana mawazo gani wakiwa na mpira.
Majaribio ya magoli 20+ bila goli kweli? Aaii, nimekereka sana leo.
Wamepata nini?Belgium leo kafundishwa modern football.. kinachonifurahisha mpira wa siku hizi unaweza ukawa na timu yenye wachezaji wenye majina makubwa lakini kama huna mbinu basi ukafundishwa mpira uwanjani!
Ndo kilichotokea leo. Well done Canadians.
Iddi Nado,JaFar kibaya,Pape Osman Sakho,Kibu Denis Mtanzania wa MchongoCanada ni machachari sio hatari[emoji1787]
Nadhani unakosea kuwaita Immigrant team nzima wachezaji watatu tu wamezaliwa nje ya Canada wote ni wazaliwa wa Canada hata hao wengine pamoja na kuzaliwa nje ni wa Canada ukiondoa kina Alphonse walikuja mdogo akiwa mkimbizi. Canada ni nchi imechanganyika sana usione rangi ukawaita wahamiaji ni wa Canada. Ila team nzuri sanaMchezo mkuu wa taifa wa Canada ni Hockey, ndio maana huoni hata mweupe hapo, wengi wa wachezaji hapo ni immigrant.
Halafu ngozi nyeusi kwenye mpira toka lini ikafunga, ukitaka ifanye vizuri hakikisha unaichanganya na nyeupe na ndio maana France wanafanya vema.
we nae huelewi unachoongea.Sasa goal attempt itakuja bila kupiga mpira
Nadhani unakosea kuwaita Immigrant team nzima wachezaji watatu tu wamezaliwa nje ya Canada wote ni wazaliwa wa Canada hata hao wengine pamoja na kuzaliwa nje ni wa Canada ukiondoa kina Alphonse walikuja mdogo akiwa mkimbizi. Canada ni nchi imechanganyika sana usione rangi ukawaita wahamiaji ni wa Canada. Ila team nzuri sana