Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Hakuna mechi nimeangalia imeniuma kama hii ya Ubelgiji dhidi ya Canada.
Yani vijana wanapiga mpira wa uhakika, mpira mtamu, boli linatembea, yaani Ubelgiji leo ilikuwa kama Ihefu kwa Canada aisee. Dakika 90 Canada hawapoi, hawapoi, yaani moto wameupeleka sana aisee. Shida inakuja pale mbele wana Kibu Denis wawili ambao sijui wana mawazo gani wakiwa na mpira.
Majaribio ya magoli 20+ bila goli kweli? Aaii, nimekereka sana leo.
Yani vijana wanapiga mpira wa uhakika, mpira mtamu, boli linatembea, yaani Ubelgiji leo ilikuwa kama Ihefu kwa Canada aisee. Dakika 90 Canada hawapoi, hawapoi, yaani moto wameupeleka sana aisee. Shida inakuja pale mbele wana Kibu Denis wawili ambao sijui wana mawazo gani wakiwa na mpira.
Majaribio ya magoli 20+ bila goli kweli? Aaii, nimekereka sana leo.