Inahusu best loser.Hivyo kundi G haliwezi kutoa best loser kwasababu team zipo tatu tu.Ufafanuzi tafadhari hii maana yake nini,ina maana kule Gabon timu zitakazoshiliki ni pungufu ?? ( kwa mujibu wa wadau hapo juu wanasema eti sasa kundi letu litatoa timu 1 na si 2 ) ina maana zile nafasi 2 inazibwa vipi ili Gabon zisiende timu pungufu ???
mh Simba gani wa mchangani auare you serious with this simba style mbereko hadi fainali news?