Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars) yapangwa kundi B CHAN 2025

Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars) yapangwa kundi B CHAN 2025

Timu ya Tanzania ( Taifa Stars ) imepangwa kundi B michuano ya CHAN 2025 itakayofanyika mwezi wa nane mwaka huu. Ambapo Tanzania, Kenya na Uganda ndiyo wenyeji wa michuano hii ambayo ilitarajiwa kufanyika mwezi wa pili mwaka huu 2025, kabla ya kupelekwa mbele na CAF kutokana na sababu za kimiundombinu ikiwa bado aipo sawa katika viwanja

Soma Pia: Michuano ya CHAN yasogezwa mbele hadi mwezi August, 2025

Kundi B
1.Tanzania
2.Madagascar
3.Central Africa
4.Mauritania
5.Burkinafaso
Hapa Tanzania asiposhinda kundi lake basi tutakuwa tumelaaniwa na Mze Mpili wa Yanga
 
Tanzania itakutana na kundi lisilo gumu sana lenye team za
1.Tanzania
2.Madagascar
3.Central Africa
4.Mauritania
5.Burkinafaso
Mrisho Ngasa ametuwakilisha vema sana huku akimpa Maua yake Rais Samia Suluhu Hassani
Kuna kundi la ndugu zetu Wakenya!
Wamenyooshwa mpaka waseme ni kwanini wamechelewesha Viwanja
 
Back
Top Bottom