Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars) yapangwa kundi B CHAN 2025

Hapa Tanzania asiposhinda kundi lake basi tutakuwa tumelaaniwa na Mze Mpili wa Yanga
 
Tanzania itakutana na kundi lisilo gumu sana lenye team za
1.Tanzania
2.Madagascar
3.Central Africa
4.Mauritania
5.Burkinafaso
Mrisho Ngasa ametuwakilisha vema sana huku akimpa Maua yake Rais Samia Suluhu Hassani
Kuna kundi la ndugu zetu Wakenya!
Wamenyooshwa mpaka waseme ni kwanini wamechelewesha Viwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…