Timu ya taifa ya Wanawake ya Zanzibar imefungwa magoli 10 kwa 1 na Burundi

wamekufa kike hao,wangeachia bao moja ikafika 11 kila mmoja lake
 
ndio wamefungwa lakini kwa mbinde saaaaaana......
 
Ntafurahi sana kama matokeo haya atayapata rais mtukufu Dr Shein
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watakuwa mwisho mwa mchezo walikataa kuwapa mikono wachezaji wa Burundi

Nyie machogo mumezidi kebehi...achene hizo bwana...tehtehtehtehteh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…