Timu ya Tanganyika, Gossage Cup 1961

Juma Mrisho Dereva wa Train Tabora au baba Gossage
Mzee juma mrisho yako katika mashindano ya Gossage nadhani ulikuwa Uganda akapata simu kuwa huku Tanzania mkewe kajifungua mtoto wa kiume akaambiwa atoe jina akasema aitwe gossage kisha akakata simu. Nae baadae alikuja cheza mpira kwa kiwango chake.
 
Juma Mrisho Dereva wa Train Tabora au baba Gossage
Naam walichukua kombe la taifa (sunlight )miaka mitatu mfululizo yeye akiwa mkoba khalafu halfback four ndio mzee matthias (winch )michezo ikifanyika uwanja wa ilala (karume )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…