BENEDICT BONIFACE
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 284
- 473
Timu ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17 imeitoa timu ya Kenya U 17 kwa jumla ya magoli 2/1katika michuano ya CECAFA U17 Inayofanyika Burundi. Kwa matokeo hayo Serengeti boys imefuzu kuingia katika fainali itakayochezwa tar 28 Apr.