tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,491
More than 200 street-connected children from across the world have come together in Russia for their own boys and girls international football tournaments, festival of arts and Congress for their rights.
The Street Child World Cup uses the power of football to raise awareness and tackle the widespread stigma faced by street-connected children, inspiring countries, governments and communities to better protect, respect and support street-connected children worldwide.
Timu ya wasichana wa mtaani ya Tanzania imeingia fainali baada ya kuwafunga Marekani goli 5 kwa 0 na pia kuwafunga timu ya wasichana ya Uingereza goli 2 kwa 1 katika michezo ya robo na nusu fainali.
Na leo wanacheza mchezo wa fainali na timu ya wasichana wa mtaani ya Brazili katika uwanja wa Sapsan jiini Moscow Urusi saa 11:30 am
Tunawaombea heri na fanaka katika mchezo huo
====
Timu ya watoto wa kike wanaoishi katika mazingira magumu kutoka nchini Tanzania, imefungwa kwa mbinde goli 1-0 na timu ya Brazil katika fainali ya Kombe la Dunia( Street Children World Cup)
Kwa matokeo haya timu hiyo imeshika nafasi ya pili katika michuano hiyo iliyoandaliwa na Shirika la Street Child United na kufanyika nchini Urusi
Tumi hiyo ya Tanzania mpaka inaingia hatua ya fainali ilikuwa haijapoteza mchezo hata mmoja na hivyo mchezo wa fainali waliofungwa ndio mchezo pekee waliopoteza. Mpaka inaingia hatua ya fainali ilikuwa imeshaweka rekodi ya kufungwa goli moja tu katika michuano hiyo
Katika hatua za makundi, Tanzania ilicheza na timu za Urusi, Kazakhstan. Ilicheza na Marekani katika hatua ya robo fainali na kisha lkuitoa England kwenye nusu fainali.
Itakumbukwa kuwa mwaka 2014 nchini Brazil, timu ya wavulana walio kwenye mazingira magumu ilichukua ubingwa kwa kuifunga Burundi.
The Street Child World Cup uses the power of football to raise awareness and tackle the widespread stigma faced by street-connected children, inspiring countries, governments and communities to better protect, respect and support street-connected children worldwide.
Timu ya wasichana wa mtaani ya Tanzania imeingia fainali baada ya kuwafunga Marekani goli 5 kwa 0 na pia kuwafunga timu ya wasichana ya Uingereza goli 2 kwa 1 katika michezo ya robo na nusu fainali.
Na leo wanacheza mchezo wa fainali na timu ya wasichana wa mtaani ya Brazili katika uwanja wa Sapsan jiini Moscow Urusi saa 11:30 am
Tunawaombea heri na fanaka katika mchezo huo
====
Timu ya watoto wa kike wanaoishi katika mazingira magumu kutoka nchini Tanzania, imefungwa kwa mbinde goli 1-0 na timu ya Brazil katika fainali ya Kombe la Dunia( Street Children World Cup)
Kwa matokeo haya timu hiyo imeshika nafasi ya pili katika michuano hiyo iliyoandaliwa na Shirika la Street Child United na kufanyika nchini Urusi
Tumi hiyo ya Tanzania mpaka inaingia hatua ya fainali ilikuwa haijapoteza mchezo hata mmoja na hivyo mchezo wa fainali waliofungwa ndio mchezo pekee waliopoteza. Mpaka inaingia hatua ya fainali ilikuwa imeshaweka rekodi ya kufungwa goli moja tu katika michuano hiyo
Katika hatua za makundi, Tanzania ilicheza na timu za Urusi, Kazakhstan. Ilicheza na Marekani katika hatua ya robo fainali na kisha lkuitoa England kwenye nusu fainali.
Itakumbukwa kuwa mwaka 2014 nchini Brazil, timu ya wavulana walio kwenye mazingira magumu ilichukua ubingwa kwa kuifunga Burundi.