Timu ya yanga ikiwa mazoezini wanafanyaga nini msimu wa 2020/2021

Kinachoiua yanga ni uongozi kukubali pressure iwafike kisha ikawafikia benchi ufundi na ikawaathiri wachezaji uwanjani...timu inaongoza ligi lakini ina pressure kubwa ya kutokubeba ubingwa ni maajabu....walipaswa kuwa na mbinu ya kulidhibiti hili unaikumbuka simba iliyokuwa inapigwa 5 mechi za klabu huku ikiwa nyuma ya yanga lakini Manara akawalinda wachezaji kwa kufanya pressure kubwa mtandaoni iwe kwake yeye na sio wachezaji, Uongozi wa juu nao ukawalinda wachezaji na kinyume chake ndicho kinachotokea yanga.
 
Hata mimi najiulizaga haya, kama jana KMC wangekuwa clinical, tungepigwa hata 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…