Timu yenye washambuliaji wakali zaidi WC 2018

Timu yenye washambuliaji wakali zaidi WC 2018

Angalia washambuliaji wa Argentina msimu huu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Screenshot_20180519-133214.jpg
 
Di María - 22 goals
Higuaín - 27 goals
Messi - 47 goals
Icardi - 29 goals
Dybala - 26 goals
Agüero - 31 goals


Safu ya ushambuliaji Argentina imefunga jumla ya magoli 182.

Tukutane kwa Putin.


Huu Uzi Utakuwa Mali Ya Washabiki Wa Barcelona & Real Madrid

By the way! Hivi Ikiwa Hao Washambuliaji Wote 6 wataanza Kwenye FXI inamana Timu haitakuwa na Mabeki wala Viungo?

Hapo na Migoli Yao Mengi basi Wengine Benchi litawahusu na Watacheza Kulingana Performance yao Ya Kila Mchezo.

Ni Messi Peke Yake Hapo Ndiye Mwenye Uhakika na Kucheza Mechi Zote Hata Kama ataumwa au atashuka Performance.
 
Jamaa wanamtegemea Ronaldo, angalia hiki kikosi. Halafu kikutane na labda Brazil German, Argentina, France, Spain.

Keepers: Anthony Lopes (Lyon), Beto (Goztepe), Rui Patricio (Sporting Lisbon).

Defenders: Bruno Alves (Rangers), Cedric Soares (Southampton), Jose Fonte (Dalian Yifang), Mario Rui (Napoli), Pepe (Besiktas), Raphael Guerreiro (Borussia Dortmund), Ricardo Pereira (Porto), Ruben Dias (Benfica)

Midfielders: Adrien Silva (Leicester), Bruno Fernandes (Sporting Lisbon), Joao Mario (West Ham), Joao Moutinho (Monaco), Manuel Fernandes (Lokomotiv), William Carvalho (Sporting Lisbon)

Forwards: Andre Silva (AC Milan), Bernardo Silva (Manchester City), Cristiano Ronaldo (Real Madrid), Gelson Martins (Sporting Lisbon), Goncalo Guedes (Valencia), Ricardo Quaresma (Besiktas)
wawili hawakuwepo euro 2016(spain,France?..Final ilikuwa nani na nani,N who lost?
 
Back
Top Bottom