Timu za Ligi kuu ya Bara (NBC) ruksa kutumia viwanja vya Zanzibar

Timu za Ligi kuu ya Bara (NBC) ruksa kutumia viwanja vya Zanzibar

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tulipinga wakati ule fainali ya shirikisho kupelekwa Unguja, kwa vile tulijua ule ni mwanzo wa mambo yanayokuja.

Kisoka Zanzibar ni Nchi nyingine, hakuna sababu yoyote ya Maana au ya Kijinga ya kupeleka ligi ya NBC kutoka Tanganyika na kuihamishia Zanzibar.

Kimsingi TFF ya Karia inaleta siasa za kijinga sana kwenye Soka letu, Hata hivyo hatutakubali, Maana Karia atang'oka lakini TFF itabaki.

Screenshot_2024-08-06-16-38-23-1.png
 
Mleta mada samahan sio kila habar ya chuki unaoleta tutakusapoti ..ligi kuuzwa ndio nn sasa .yaani koloni letu litusumbue ? Afu mechi ikifanyika uko ndio italeta mazara gan kwa bara ?
 
Back
Top Bottom