Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Mkakati ni nini?Kuna mechi itaenda kule ki mkakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkakati ni nini?Kuna mechi itaenda kule ki mkakati
Mimi siyo msemaji wa TFF ila aliyeanzisha uzi kapotosha maana halisi swali fikirishi kwako je unaijua nchi ya kenya ikowapi na utaratibu wa kwenda huko ukoje nimeona kichwa cha habari hii, (title), kufanyiwa marekebishoKwa hiyo tunaweza pia viwanja vya Kenya?
Jamaa/binti ana chuki sana na serikali hii.Mleta mada samahan sio kila habar ya chuki unaoleta tutakusapoti ..ligi kuuzwa ndio nn sasa .yaani koloni letu litusumbue ? Afu mechi ikifanyika uko ndio italeta mazara gan kwa bara ?
yes. ni ruksaNa vipi, mechi za Zanzibar zinaruhusiwa kuchezwa Bara?!
Unawezaje kufurahia serikali inayoleta umasikini?Jamaa/binti ana chuki sana na serikali hii.
😆😆😆😆😆Shenzi kabisa.
VIONGOZI WA TFF NA BODI YA LIGI HAWANA HAYO MAONO...WAPO KWA AJILI YA KUPENDELEA TIMU KUBWAA..Zanzibar ni mbali kijiografia
Assume team kutoka Kagera au kigoma, Mara ichezwe Zanzibar sio fair
Zanzibar ni nchi nyingine
TFF unafanya haya ili kuwafurahisha kizimkazi