Pre GE2025 Timu za mpira zinafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM? Ndio malipo ya 'Goli la Mama'?

Pre GE2025 Timu za mpira zinafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM? Ndio malipo ya 'Goli la Mama'?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?

Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.

Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!

 
Wakuu,

Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?

Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?

Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.

Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!

View attachment 3205142
Kulikuwa kuna fununu kuwa hersi yupo kwenye harakati za ubunge , so sishangai wakijihusisha na hayo.

Ili meadi hajapeleka wachezaji hapo basi hiyo ni personal life yake
 
CCM hutumia kila aina ya fursa yenye kushawishi watu.
Si ajabu hata waganga wa kienyeji wapo ndani..!
 
Ndugai kayatimba Hersi ndani jimbo Kongwa.....hujui kusoma hata kuangalia picha
 
Anyway, naona bado hamuelewi maana ya siasa zisiingizwe kwenye mpira.
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa, kipindi kile mama alipoingilia suala la Feisal ndipo ilipoingia siasa kwenye mpira, tofauti na hilo sijawahi kuona siasa kwenye mpira kwenye hii nchi.
 
Wakuu,

Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?

Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?

Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.

Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!

View attachment 3205142
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😀 😀 😀 😀 😀
 
Wakuu,

Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?

Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?

Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.

Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!

View attachment 3205142
Hao ni waalikwa,na nyie waalikeni badala ya kulalamika 😂😂
 
Wakuu,

Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?

Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?

Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.

Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!

View attachment 3205142
Acha ushamba ndugu. Kuwa Kiongozi wa klabu Cha mpira hakumzuii mtu kuwa mwanachama wa chama Cha Siasa. Unamjua Silvio Berlusconi?
 
Kulikuwa kuna fununu kuwa hersi yupo kwenye harakati za ubunge , so sishangai wakijihusisha na hayo.

Ili meadi hajapeleka wachezaji hapo basi hiyo ni personal life yake
wanayo haki ya kikatiba kujiunga ma cha ma chochote cha siasa
 
CCM inalazimisha umaarufu hasa baada ya kuona Samia hakubaliki kabisa kwa wapiga kura.
 
Tanzania vituko /vichekesho haviwezi kuisha.
Young African leo wanamechi ngumu halafu GSM na kijana wake wapo Dodoma, what a goal
 
Back
Top Bottom