Pre GE2025 Timu za mpira zinafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM? Ndio malipo ya 'Goli la Mama'?

Pre GE2025 Timu za mpira zinafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM? Ndio malipo ya 'Goli la Mama'?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anyway, naona bado hamuelewi maana ya siasa zisiingizwe kwenye mpira.
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa, kipindi kile mama alipoingilia suala la Feisal ndipo ilipoingia siasa kwenye mpira, tofauti na hilo sijawahi kuona siasa kwenye mpira kwenye hii nchi.
Umemsahau Jakaya!?
 
Anyway, naona bado hamuelewi maana ya siasa zisiingizwe kwenye mpira.
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa, kipindi kile mama alipoingilia suala la Feisal ndipo ilipoingia siasa kwenye mpira, tofauti na hilo sijawahi kuona siasa kwenye mpira kwenye hii nchi.
Umepoteza kumbukumbu boss, hizi tabia za kuingiza siasa, nyingi zilishika kasi wakati wa Magufuli. Chini ya utawala wa magufuli kila taasisi na sekta mbalimbali zilishurutishwa kuonyesha zinamuunga mkono rais. Ndio wakati kila mwananchi au mkuu wa taasisi akiongea jambo ni lazima amtaje Magufuli, tena kwa majina yake matatu. Hivyo huu upuuzi muasisi wake mkuu ni dhalimu Magufuli.
 
Umepoteza kumbukumbu boss, hizi tabia za kuingiza siasa, nyingi zilishika kasi wakati wa Magufuli. Chini ya utawala wa magufuli kila taasisi na sekta mbalimbali zilishurutishwa kuonyesha zinamuunga mkono rais. Ndio wakati kila mwananchi au mkuu wa taasisi akiongea jambo ni lazima amtaje Magufuli, tena kwa majina yake matatu. Hivyo huu upuuzi muasisi wake mkuu ni dhalimu Magufuli.
Sasa hv mama yupo madarakani, haya niambie
 
Wakuu,

Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?

Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?

Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.

Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!

View attachment 3205142
Ni haki yao kikatiba , hata wewe mshabiki wa makolo ni haki yako pia kuwa chama ulicho . Fatilia hata kina katumbi basi
 
Hersi ni mwana ccm na atagombea hapo dodoma huku mdhamini wake akiwa gsm
 
Wakuu,

Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?

Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?

Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.

Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!

View attachment 3205142
we umeona timu za mpira tu wakati timu mpaka za jogging , achilia mbali viongozi wa madhehebu ya dini na vyama vya siasa nchini.
wamefurahi sana aise 🐒
 
Wakuu,

Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?

Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?

Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.

Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!

View attachment 3205142
Hujui kuwa hii inchi ni shamba la bibi mkuu
 
Eng. Hers na boss wako mmevuna mlichopanda, ikiwa leo ndio siku ya mwisho hamkupaswa kuondoka Dodoma, lkn matokeo yake mkakimbilia Dodoma, msimlaumu mtu.
 
Back
Top Bottom