mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Umemsahau Jakaya!?Anyway, naona bado hamuelewi maana ya siasa zisiingizwe kwenye mpira.
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa, kipindi kile mama alipoingilia suala la Feisal ndipo ilipoingia siasa kwenye mpira, tofauti na hilo sijawahi kuona siasa kwenye mpira kwenye hii nchi.
hahaaa furahi mkuu, life's short!Ila we Jamaa, naichukia sana ccm ila ujumbe wako huu umenipa 🤣🤣🤣🤣 sana aisee
Nikumbushe bossUmemsahau Jakaya!?
Umepoteza kumbukumbu boss, hizi tabia za kuingiza siasa, nyingi zilishika kasi wakati wa Magufuli. Chini ya utawala wa magufuli kila taasisi na sekta mbalimbali zilishurutishwa kuonyesha zinamuunga mkono rais. Ndio wakati kila mwananchi au mkuu wa taasisi akiongea jambo ni lazima amtaje Magufuli, tena kwa majina yake matatu. Hivyo huu upuuzi muasisi wake mkuu ni dhalimu Magufuli.Anyway, naona bado hamuelewi maana ya siasa zisiingizwe kwenye mpira.
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa, kipindi kile mama alipoingilia suala la Feisal ndipo ilipoingia siasa kwenye mpira, tofauti na hilo sijawahi kuona siasa kwenye mpira kwenye hii nchi.
Sasa hv mama yupo madarakani, haya niambieUmepoteza kumbukumbu boss, hizi tabia za kuingiza siasa, nyingi zilishika kasi wakati wa Magufuli. Chini ya utawala wa magufuli kila taasisi na sekta mbalimbali zilishurutishwa kuonyesha zinamuunga mkono rais. Ndio wakati kila mwananchi au mkuu wa taasisi akiongea jambo ni lazima amtaje Magufuli, tena kwa majina yake matatu. Hivyo huu upuuzi muasisi wake mkuu ni dhalimu Magufuli.
Ni haki yao kikatiba , hata wewe mshabiki wa makolo ni haki yako pia kuwa chama ulicho . Fatilia hata kina katumbi basiWakuu,
Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?
Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?
Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.
Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!
View attachment 3205142
we umeona timu za mpira tu wakati timu mpaka za jogging , achilia mbali viongozi wa madhehebu ya dini na vyama vya siasa nchini.Wakuu,
Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?
Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?
Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.
Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!
View attachment 3205142
Kaiga kila kitu tiko kwa dhalimu magu.Sasa hv mama yupo madarakani, haya niambie
Kwahy ww ukiwa malaya, tuseme umeiga kwa wazazi wako?Kaiga kila kitu tiko kwa dhalimu magu.
Vipi kuhusu Mufti maana nae ndani ya nyumba hajapitwaAcha ushamba ndugu. Kuwa Kiongozi wa klabu Cha mpira hakumzuii mtu kuwa mwanachama wa chama Cha Siasa. Unamjua Silvio Berlusconi?
Unauliza au unapigia jibu mstari.Kwahy ww ukiwa malaya, tuseme umeiga kwa wazazi wako?
Hujui kuwa hii inchi ni shamba la bibi mkuuWakuu,
Kama soka hairuhusiwi kujichanganya na mambo ya siasa na serikali, sasa wawakilishi wa Simba na Yanga wanafanya nini kwenye Mkutano Mkuu wa CCM?
Wakikilishi wa Yanga Eng. Hersi na mwenzake wameenda kwenye mkutano huu kwaajili ya nini? Kuwashawishi wapenzi wa soka kuipigia kura CCM?
Si hao FIFA watufungie shughuli zote za soka hata mwaka mmoja tuone kama hawa viongozi na mashabaki wataendelea kwenda kwenye mikutano ya CCM.
Hii inaonesha bila makundi haya ya wasanii CCM hamna kitu, ni debe kubwaaaa tupu ambalo halichi kutika!
View attachment 3205142
CCM ni dude Moja kuuuuuuuuubwaaa!Vipi kuhusu Mufti maana nae ndani ya nyumba hajapitwa