RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Timu za Premier League zimeweka rekodi mpya ya Timu Tano zote kuingia hatua za mtoano za Champions League. Chelsea,Liverpool,Manchester United,Manchester City na Tottenham Hotspur zote zimefuzu hatua ya 16 bora.
Msimu huu ni wa kwanza kwa timu tano za Premier League na hii ni baada ya Manchester United kufuzu kupitia Europa League, na zote tano zimeingia hatua za 16 bora. Hii ni mara ya kwanza tangu msimu wa 2013/14 timu zote za Premier League kupita hatua ya makundi, na hii inaonesha kuimarika kwa Premier League msimu huu.
Katika timu hizo tano ni Chelsea tu kamaliza nafasi ya pili, timu nyingine zote zimemaliza kama washindi kwenye makundi yao. Tusubiri tuone kama zote zitapita na kuingia robo fainali.
Premier League clubs set a new Champions League record
Seville vs Manchester United
Porto vs Liverpool
Basel vs Man City
Spurs vs Juventus
Chelsea vs Barcelona
Msimu huu ni wa kwanza kwa timu tano za Premier League na hii ni baada ya Manchester United kufuzu kupitia Europa League, na zote tano zimeingia hatua za 16 bora. Hii ni mara ya kwanza tangu msimu wa 2013/14 timu zote za Premier League kupita hatua ya makundi, na hii inaonesha kuimarika kwa Premier League msimu huu.
Katika timu hizo tano ni Chelsea tu kamaliza nafasi ya pili, timu nyingine zote zimemaliza kama washindi kwenye makundi yao. Tusubiri tuone kama zote zitapita na kuingia robo fainali.
Premier League clubs set a new Champions League record
Seville vs Manchester United
Porto vs Liverpool
Basel vs Man City
Spurs vs Juventus
Chelsea vs Barcelona