Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hakuna haja ya kurudia kueleza kinachoendelea nchini Africa kusini , kila mtu amejionea , wageni wanachomwa moto hadharani huku polisi wanachekelea
Ikiwa kama tutaruhusu timu zao ziende mashindanoni nchi zingine ni wazi visasi vitalipwa , njia pekee ya kuzuia hili ni kuziondoa timu zao kwenye michuano ya CAF
Ikiwa kama tutaruhusu timu zao ziende mashindanoni nchi zingine ni wazi visasi vitalipwa , njia pekee ya kuzuia hili ni kuziondoa timu zao kwenye michuano ya CAF