TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 385
pamoja sio mpenzi sana wa mpira,lakini nimegundua kipaji cha ufugaji magoli kwa wachezaji wa tanzania kimeyeyuka,ukiangalia wachezaji wanaoongoza kwa ufungaji wa magoli katika timu zetu asilimia kubwa ni wachezaji toka wa kigeni,kiiza,tambe.tchetche nk.inafikia mahali magoli ya mchezaji mmoja wa kigeni wa timu fulani,yanakuwa ni mengi kuliko magoli ya wachezaji wa kitanzani wa timu fulani ukiyachanganya yote kwa pa 1,tutegemee kupanda kwenye renki ya soka duniani?tutatengenezaje timu ya taifa kwa mtindo huu,