manonawire
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 943
- 1,223
- Thread starter
-
- #21
Kwahiyo kwa uwezo wako wa uchambuzi wa soka kwako wewe Man City hana timu ya kugombea ubingwa msimu ujao..?
Ahahaaaaaaah..!
Kwamba Liverpool na Chelsea wana timu bora kuliko Man City..?
Ahahaaaaaaah..!
Unamuweka Man Utd kwenye mbio za ubingwa wakati huo huo unamtoa Man City..?
Ahahaaaaaaah..!
Sio bure,kuna tatizo hapa..!
Ndiyo mkuukweli wewe ni full of faith
Hahahahahahahha kwa nn kakaHichi ni kikundi cha wahuni sio team ya mpira
Yote kayataka morinyoHichi ni kikundi cha wahuni sio team ya mpira
No anaisuka upya msimu huu..Yote kayataka morinyo
Jidanganye,unapigia hesabu mpira wa kistaarabu na uvivu wa wenger!!..hapo ni nguvu kazi tu hakuna utoto,huku lischteiner kule kolasinac,mbele aubame,lacanyavu..watu wanaongezwa kati,mdebwedo hakunaHawa ni sawa na mazuzu Yanga tu.….kwishney.
nasubiria uchawi wako tenaNaona umeandika kama unaota, ngoja kwanza timu zisajili ziende pre season, nyingine zipate makocha and then ndo tuanze utabiri kutokana na hali za vikosi vyao, vinginevyo utakuwa unafanya ramli tu.
Tuwe na imani mkuu kwan ndo kila kituHawa ni sawa na mazuzu Yanga tu.….kwishney.