manonawire
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 943
- 1,223
Habari wana jukwaa
Niende moja kwa moja kwny uzi
Katika mda huu ambao macho na masikio ya wapenzi wa soka yameelekea pale RUSSIA hebu turudi kidogo kwny ligi zetu pendwa za soka hasa ligi kuu ya ENGLAND
Mimi kwa mtazamo wangu kwny epl kuna timu tatu zina nafas kubwa ya kuwa bingwa msimu ujao
LIVERPOOL
Hawa jamaa inaonekana wamedhamiria kumaliza ukata wao wa mda mrefu wa kupata kombe lile pendwa la barclays hili wanalidhiirisha hata kwa aina ya usajili wanaofanya
CHELSEA
Hawa nawapa nafasi kwa sababu wana timu nzuri na bado kuna uwezekano wakarudisha majembe yao waliyoyatoa kwa mkopo hivyo kuwa fanya wawe na timu nzuri zaidi na ya ushindani zaidi
MAN UNITED
Mashetani wekundu wamedhamiria kweli kweli na msimu ujao wataongeza nguvu zaidi ili wawe mabingwa usajili wanaofanya unatosha kujieleza na wakiongezea mbinu za "the special one"
Toa na ww maoni yako kama mdau wa ligi ya EPL
Niende moja kwa moja kwny uzi
Katika mda huu ambao macho na masikio ya wapenzi wa soka yameelekea pale RUSSIA hebu turudi kidogo kwny ligi zetu pendwa za soka hasa ligi kuu ya ENGLAND
Mimi kwa mtazamo wangu kwny epl kuna timu tatu zina nafas kubwa ya kuwa bingwa msimu ujao
LIVERPOOL
Hawa jamaa inaonekana wamedhamiria kumaliza ukata wao wa mda mrefu wa kupata kombe lile pendwa la barclays hili wanalidhiirisha hata kwa aina ya usajili wanaofanya
CHELSEA
Hawa nawapa nafasi kwa sababu wana timu nzuri na bado kuna uwezekano wakarudisha majembe yao waliyoyatoa kwa mkopo hivyo kuwa fanya wawe na timu nzuri zaidi na ya ushindani zaidi
MAN UNITED
Mashetani wekundu wamedhamiria kweli kweli na msimu ujao wataongeza nguvu zaidi ili wawe mabingwa usajili wanaofanya unatosha kujieleza na wakiongezea mbinu za "the special one"
Toa na ww maoni yako kama mdau wa ligi ya EPL