Timu zetu za Kiafrika zitaleta aibu kama kawaida

Timu zetu za Kiafrika zitaleta aibu kama kawaida

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nawaangalia Senegal, hii mechi wangecheza kiume wangeshinda, lakini wanapaka paka sana rangi mpira. Wangeingia na ile ari ya miaka ile ya Cameroon na Nigeria.

Mpira magoli, haina haja ya kupaka paka rangi. Mnapata, mnakimbiza golini, mnachana nyavu. Nao wanataka pasi na chenga za kipuuzi. Sijui aina hii ya mpira itatusaidia nini? Waangalie weusi wanaochezea timu za Wazungu, wanajituma sana.
 
Nawaangalia Senegal... Hii match wangecheza kiume wangeshinda. But wanapaka paka sana rangi mpira. Wangeingia na ile spirit ya miaka ile ya Cameroon na Nigeria.

Mpira magoal haina haja ya kupaka paka rangi. Mnapata mnakimbiza golini mnachana nyavu. Nao wanataka passess na chenga za kipuuzi. Sijui aina hii ya mpira itatusaidia nini. Waangalie weusi wanaochezea teams za wazungu. Wanajituma sana.
Waafrika wengi ni wasaliti wa nchi zao. Wanacheza kuonesha ufundi ili kusaka usajili wa kimataifa.....

Ni waafrika wachache wanaojitambua
 
Nawaangalia Senegal... Hii match wangecheza kiume wangeshinda. But wanapaka paka sana rangi mpira. Wangeingia na ile spirit ya miaka ile ya Cameroon na Nigeria.

Mpira magoal haina haja ya kupaka paka rangi. Mnapata mnakimbiza golini mnachana nyavu. Nao wanataka passess na chenga za kipuuzi. Sijui aina hii ya mpira itatusaidia nini. Waangalie weusi wanaochezea teams za wazungu. Wanajituma sana.
Bora zifungwe harakaharaka tu tutoke tuache presha zisizokuwa na msingi...

Game ilikuwa yao kabisaa
 
Waafrica bado dhambi zetu za kubaguana,kuuwana,kutesana,rushwa,chuki,ubinafsi zinatuhukumu mpaka kwenye michezo.
Senegal ingeshinda waafrica tungefurahi wote lakini dhambi na Karma zinatuadhibu.
 
Game ilikuwa yao Senegal kabisa.

na kwa makundi yalivyo jepesi kidogo nililiona ni hili.

msimu huu tena hatutoboi knock out team hata moja.
Wangekaza walau sare ingekua fresh
Generation ya akina Diouf, Kahlilou fadiga, Papa Diop, Tony silva ilikua watu wenye vipaji na upambanaji
 
Hao Holland Belgium alichezea nje, ndani... ni moja kati ya team zinazoweza kufika hatuabya Fainali... Senegal wamecheza vizuri sana kukosa umakini katika eneo la box kumewanyima point muhimu. Pengo la Mane limeonekana dhahiri ila wana nafasi ya kupenya katika kundi lao.
 
Mashabiki wenyewe hamjui ushabiki kwakua ni mambo ya kuletewa mmeyakurupukia tu
 
Waafrika wengi ni wasaliti wa nchi zao. Wanacheza kuonesha ufundi ili kusaka usajili wa kimataifa.....

Ni waafrika wachache wanaojitambua
Mtawalaume wachezaji bure tuu. Ata wewe ungekuwa unalipwa million 200 kwa week usingchezea kibarua chako. Pili uongozi wa mpira mara nyingi hauwatemdei haki wachezaji wakijankucheza timu za taiafa. Hili alishaongea sana samuel kuffo. Huo ndio ukweli.

Ni fahari kuchezea timu yako ya taifa lakini kumbuka klabu yako ndio inayokulipa mshahara.
 
Wamejitahidi sana tuu sema ndo hvyo total football ni habari nyingine
 
Back
Top Bottom