mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Zione na uone utofauti ulivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbna kemcho Fc Wamekuwa Wa 2 na Tambo zooote ziiiileee [emoji3][emoji3][emoji3]
Shida yenu ndo ipo hapo,mnawaza kushindana na Simba kwa kila jambo mtachelewa.Mbna kemcho Fc Wamekuwa Wa 2 na Tambo zooote ziiiileee [emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona Vunja Puraisi Kama Makasiriko Kibao Hivi [emoji3][emoji3][emoji3]Shida yenu ndo ipo hapo,mnawaza kushindana na Simba kwa kila jambo mtachelewa.
Wanaopiga kelele ni nyie wanaopingana na takwimu, mnapiga sana mboyoyo sasa timu inayoongoza kwa mapato ya mlangoni inaonekana ni ipi, na ile mambo ya timu inayojaza uwanja nafikiri jibu litakuwa limepatikanaShida yenu ndo ipo hapo,mnawaza kushindana na Simba kwa kila jambo mtachelewa.
Hivi mwezi huu nyie Makolo FC wa humu jf mmeandika maandiko mangapi mabaya dhidi ya Yanga halafu unasema wanayanga ndo wanashindana...sio nyie ndo mnashindana na hii timu kubwa?Shida yenu ndo ipo hapo,mnawaza kushindana na Simba kwa kila jambo mtachelewa.
Shida yenu ndo ipo hapo,mnawaza kushindana na Simba kwa kila jambo mtachelewa.
Tumezoea hata tukiwa wachache uwanjani ubingwa lazima ulikuwa wetu tofauti na nyie manyani fcMbna kemcho Fc Wamekuwa Wa 2 na Tambo zooote ziiiileee [emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi mwezi huu nyie Makolo FC wa humu jf mmeandika maandiko mangapi mabaya dhidi ya Yanga halafu unasema wanayanga ndo wanashindana...sio nyie ndo mnashindana na hii timu kubwa?
Sasa kama hapa na hizi takwimu unataka kubisha pia...NI UZUNI KWAKWELI [emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Nyinyi si mlikua mnakazania Haji ndo alikua anaita mashabiki wa Simba uwanjani!.Mbona Vunja Puraisi Kama Makasiriko Kibao Hivi [emoji3][emoji3][emoji3]
Nyinyi mko juu zaidi ya Simba kwenye takwimu za Yanga na Simba.Hivi mwezi huu nyie Makolo FC wa humu jf mmeandika maandiko mangapi mabaya dhidi ya Yanga halafu unasema wanayanga ndo wanashindana...sio nyie ndo mnashindana na hii timu kubwa?
Sasa kama hapa na hizi takwimu unataka kubisha pia...NI UZUNI KWAKWELI [emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Haya ni majibu kwenu nyinyi mliokua mkisema Msukule anajaza mashabiki wa Simba uwanjani.Wanaopiga kelele ni nyie wanaopingana na takwimu, mnapiga sana mboyoyo sasa timu inayoongoza kwa mapato ya mlangoni inaonekana ni ipi, na ile mambo ya timu inayojaza uwanja nafikiri jibu litakuwa limepatikana
Mkawatoe wenzenu Polisi Huko Geita [emoji3][emoji3][emoji3]Haya ni majibu kwenu nyinyi mliokua mkisema Msukule anajaza mashabiki wa Simba uwanjani.
Mbna kemcho Fc Wamekuwa Wa 2 na Tambo zooote ziiiileee [emoji3][emoji3][emoji3]
Kubali tu mashabiki wa Simba wanashughulika na Yanga zaidi kuliko mashabiki wa Yanga kushughulika na Simba..kitaalam hii inaitwaje?Nyinyi mko juu zaidi ya Simba kwenye takwimu za Yanga na Simba.
Yanga ndo timu ya kwanza kutolewa cafcl bila kufunga hata goli moja tena hatua za awali.
Inawezekana ndio siri ya mafanikio yaoKubali tu mashabiki wa Simba wanashughulika na Yanga zaidi kuliko mashabiki wa Yanga kushughulika na Simba..kitaalam hii inaitwaje?
Kumbe hawajafunga hata goli la offside ?Nyinyi mko juu zaidi ya Simba kwenye takwimu za Yanga na Simba.
Yanga ndo timu ya kwanza kutolewa cafcl bila kufunga hata goli moja tena hatua za awali.
Fake news.Mkawatoe wenzenu Polisi Huko Geita [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1948249