Timu zitakazoshiriki clabu bingwa Duniani

Toa takataka hivi simba mba vikombe vingapi kimataifa?

Vikombe vya ligue ya ndani mna vingapi?

Tuanze hapo kwanza tuone ukubwa wenu..

Madrid, Liver, manchester Chelsea, Ac milan, Barcelona wamekuwa wakubwa kwa sababu Wana vikombe vya kutosha kabatini.

Nyie ukubwa wenu ni upi?
 
Kichwa cha uzi na habari kamili iliyopo kwenye tweet ni tofauti japo ninawasiwasi kuwa tweet ya mchongo maana hilo jambo ninavyojua mpaka 2025 sio 2023
 
Iyo ndio maana halisi ya wazee wa kujitututumua, Mbumbumbu fc katika ubora wao.[emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…