Chiefmweusi
Member
- Sep 21, 2012
- 87
- 9
Mimi ni mwanafunz wa IFM naingia mwaka wa 2 octaber nachukua BBF ni member wa TIOB toka April mwaka huu lakin najishauri sana kufanya mitihan yao akat nikiwa na naendelea na masomo yang hapa IFM, wana JF naombeni ushauri kulingana na muda,umuhimu wa mitihani ya TIOB na masomo yang hapa IFM