Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi.
Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.
Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.
Source: A reliable tip from deep inside!.
Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.
Awali kulipandishwa uzi
TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada ...
taarifa hii TAKUKURU, inazungumzia uchunguzi, taartifa ya source wangu, inasema uchunguzi umekamilika, kesi ziko mezani kwa DPP, zinasubiri tuu uamuzi wa DPP.
Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".
Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.
Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashi... kesi hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, japo unakaimishwa, lakini Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.
Paskali
Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.
Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.
Source: A reliable tip from deep inside!.
Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.
Awali kulipandishwa uzi
TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada ...
taarifa hii TAKUKURU, inazungumzia uchunguzi, taartifa ya source wangu, inasema uchunguzi umekamilika, kesi ziko mezani kwa DPP, zinasubiri tuu uamuzi wa DPP.
Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".
Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.
Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashi... kesi hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, japo unakaimishwa, lakini Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.
Paskali