Tetesi: Tip From Deep Inside: Uchunguzi wa Kesi 9 za Ufisadi Mkubwa Umekamilika.Soon Vigogo Kizimbani

Tetesi: Tip From Deep Inside: Uchunguzi wa Kesi 9 za Ufisadi Mkubwa Umekamilika.Soon Vigogo Kizimbani

Vyeti Feki kwa jeshi la police kabla hatujafikia tamati.
Mchanga wetu na ACACIA kabla hatujafikia tamati.
Kibiti ole wao kabla hatujafikia tamati.
Lowasa anaitajika akajieleze police.

Sasa sijui tunamaliza na lipi na sijui kesho kutwa serikali hii ya ccm itaibuka na kiki ipi tena.
 
Pasco hana clue ya maana ....anachokoza tu kujua kama public ina any information ....in short wazito wengi matumbo joto ....hakuna mwenye uhakika how far JPM atagusa ....kinachowaogopesha ni JPM kuonesha kutokujali matokeo ya hatua zake dhidi ya walioibia taifa ....hana cha kupoteza na mwisho huu uzi utawafikia ....ukisikia Chenge kaguswa unafikiri itaishia hapo? Tulieni JPM awashangaze mkose maneno ....
 
Wanabodi.

Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.

Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.

Source: A reliable tip from deep inside!.

Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.

Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".

Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.

Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashindwa hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.

Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.

Paskali
What is the impact of these cases in the economy? Restricting withdrawal from someone account does it help economy?
 
Wanabodi.

Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.

Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.

Source: A reliable tip from deep inside!.

Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.

Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".

Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.

Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashindwa hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.

Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.

Paskali
Mkuu Paskali siku hizi nimeanza kukuelewa sana, unaandika kifalsafa sana. Inabidi habari yako yote isomwe in "totality" halafu ndiyo utoe maudhui kwa ujumla. Kwa mfano hii habari yako ina "mwanzo" na "mwisho". Lakini imekuwa "summarized" na Sentensi yako ya mwisho kabisa. Brilliant! keep it up
 
WAKUU huyu jamaa si ndio alikuwa Mkurugenzi wa habari na mawasiliano Ikulu Wakati wa Kikwete?Inamaana baada ya kutumbulia jipu ndio kaamu kumwanika JPM Kiasi Hiki?
Tetetete jambazi limeamua kumuanika jambazi mwenzie la mali za umma


Swissme
 
Wanabodi.

Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.

Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.

Source: A reliable tip from deep inside!.

Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.

Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".

Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.

Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashindwa hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.

Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.

Paskali


Kwa sababu Rugemarila na singa singa walirukishwa kichura? hahahahah..wewe Paskali wewe una mambo haswa!
 
Mh!! Wakati wadau wenye kusaini madili yote ambayo leo yamekuwa mazimwi ama saratani yakula kidogo kidogo huku raia wakisema tuko sawa ilihali afya inazidi kuwa mbaya mbaya!!! Wameambiwa waachwe wapumzike!!!
 
yani we acha tu ,hapo ni mtifuano tuu,hadi mtu ajute
abbedc5cb7e555c24dbc5f57adf5205e.jpg



Swissme
 
Mh!! Wakati wadau wenye kusaini madili yote ambayo leo yamekuwa mazimwi ama saratani yanakula kidogo kidogo huku raia wakisema tuko sawa ilihali afya inazidi kuwa mbaya mbaya!!! Wameambiwa waachwe wapumzike!!!
 
Tunataka habari njema sio visa na visasi. Makesi yasiyoisha ama yanayoishia watuhumiwa kudeki hospitali hayawezi kubadili maisha yetu watu maskini.
Tuongee kilimo,ufugaji,elimu,afya,nishati hasa umeme nk. Hizi kesi sioni zikimtatulia mwananchi shida zake kwani huishia adhabu za kuchekesha. Chenchi ya Rada tuliambiwa inarudi lkn hatukuona chamno licha ya makelele mengi. Hatutaki siasa uchwara huku wananchi wakiumia
 
Pasco hana clue ya maana ....anachokoza tu kujua kama public ina any information ....in short wazito wengi matumbo joto ....hakuna mwenye uhakika how far JPM atagusa ....kinachowaogopesha ni JPM kuonesha kutokujali matokeo ya hatua zake dhidi ya walioibia taifa ....hana cha kupoteza na mwisho huu uzi utawafikia ....ukisikia Chenge kaguswa unafikiri itaishia hapo? Tulieni JPM awashangaze mkose maneno ....

Hivi kati ya walioliibia taifa hili, uncle anakosekana kweli? Uuzwaji wa nyumba za serikali, kivuko cha bagamoyo, samaki wa yule jamaa, nk. Watch it. He is not clean to that extent.
 
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashindwa hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mkuu Pasco,kama mwanasheria hapo tayari umeshaingilia uhuru wa mahakama.Usiwe mwanasheria wa mitandaoni kama Kibatala
 
Back
Top Bottom