Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ok thanks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakigusa hapo wamegusa Msoga.Hawawezi hata kumgusa maana wanajua wakingusa tu kazi itaanza.
What is the impact of these cases in the economy? Restricting withdrawal from someone account does it help economy?Wanabodi.
Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.
Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.
Source: A reliable tip from deep inside!.
Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.
Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".
Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.
Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashindwa hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.
Paskali
Mkuu Paskali siku hizi nimeanza kukuelewa sana, unaandika kifalsafa sana. Inabidi habari yako yote isomwe in "totality" halafu ndiyo utoe maudhui kwa ujumla. Kwa mfano hii habari yako ina "mwanzo" na "mwisho". Lakini imekuwa "summarized" na Sentensi yako ya mwisho kabisa. Brilliant! keep it upWanabodi.
Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.
Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.
Source: A reliable tip from deep inside!.
Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.
Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".
Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.
Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashindwa hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.
Paskali
WAKUU huyu jamaa si ndio alikuwa Mkurugenzi wa habari na mawasiliano Ikulu Wakati wa Kikwete?Inamaana baada ya kutumbulia jipu ndio kaamu kumwanika JPM Kiasi Hiki?SALVA RWEYEMAMU
RAI
Tetetete jambazi limeamua kumuanika jambazi mwenzie la mali za ummaWAKUU huyu jamaa si ndio alikuwa Mkurugenzi wa habari na mawasiliano Ikulu Wakati wa Kikwete?Inamaana baada ya kutumbulia jipu ndio kaamu kumwanika JPM Kiasi Hiki?
Wanabodi.
Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.
Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.
Source: A reliable tip from deep inside!.
Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.
Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".
Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.
Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashindwa hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.
Paskali
yani we acha tu ,hapo ni mtifuano tuu,hadi mtu ajuteTetetete jambazi limeamua kumuanika jambazi mwenzie la mali za umma
Swissme
Mh!! Wakati wadau wenye kusaini madili yote ambayo leo yamekuwa mazimwi ama saratani yanakula kidogo kidogo huku raia wakisema tuko sawa ilihali afya inazidi kuwa mbaya mbaya!!! Wameambiwa waachwe wapumzike!!!
Pasco hana clue ya maana ....anachokoza tu kujua kama public ina any information ....in short wazito wengi matumbo joto ....hakuna mwenye uhakika how far JPM atagusa ....kinachowaogopesha ni JPM kuonesha kutokujali matokeo ya hatua zake dhidi ya walioibia taifa ....hana cha kupoteza na mwisho huu uzi utawafikia ....ukisikia Chenge kaguswa unafikiri itaishia hapo? Tulieni JPM awashangaze mkose maneno ....
Mkuu Pasco,kama mwanasheria hapo tayari umeshaingilia uhuru wa mahakama.Usiwe mwanasheria wa mitandaoni kama KibatalaMfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashindwa hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mkuu saa 2 asubuhi unahitaji huduma ya waiter?Waiter ongeza glass hapa...