Tetesi: Tip From Deep Inside: Uchunguzi wa Kesi 9 za Ufisadi Mkubwa Umekamilika.Soon Vigogo Kizimbani

Kwa nini huyo mwandishi alipewa kazi ikulu baada ya habari hiyo? Nikisema alitumwa utanikatalia?
 
Shukran sana mkuu ila ni kupoteza muda tuuu kesi zotee tutashindwa kwa sababu mawakili wa serikali hii hukurupuka kama dereva wao
 
Tatizo kubwa la Serikali ya Magufuri ni ubaguzi na woga. Kuna kiini macho kinaendelea hapo katika na wamevamia mambo mengi kwa wakati mmoja. Ni mkanganyiko ndani ya kanganyiko.
 
MKUU HILI NI PICHA LA KUIGIZA TU KAMA WALE WENYE KINGA SIJUI NGAO HAWAHUSIKA MAANA WALE NDIO WALIKUWA WATOA AMRI
ANAYE KAMATWA NA NGOZI NDIYO MWIZI.
KAMA RAIS ALIAGIZA KAIBE NA WEWE UKAENDA KUIBA, HAPA SHERIA HAIMJUI ALIYEKUTUMA.
KAMA UTALETA USHAHIDI KUWA ULITUMWA BASI WEWE UTASUBIRI ADHABU KWA KUKUBALI KUTENDA KOSA KWA KUTUMWA NA MTU MWINGINE.
VIONGOZI WETU NI WAPUMBAVU.
ANAAGIZWA KUFANYA KITU KIOVU NA MKUBWA NA YEYE ANATEKELEZA KWA SABABU YA KUOGOPA KUTUMBULIWA.
KIONGOZI SHUPAVU NI YULE ANAYEKATAA KUFANYA UOVU NA ENDAPO ATALAZIMISHWA BASI AJIUZULU NAFASI HIYO.
WALIOYOYAFANYA AKINA MRAMBA WALIAGIZWA NA VIONGOZI WAO.
MWISHO WA SIKU WALIFUNGWA WAO.
 
Baadae wataitwa wakubwa wenye kinga,
mahakamani:
Hakimu-Ni kweli ulipokuwa ....ulisaini huu uozo?

Mshtakiwa-Ndiyo

Hakimu-wakati ukisaini hukujua kuwa unakiuka sheria,taratibu nk?

Mshtakiwa-Nilijua,ila ni kwa maelekezo ya pedeshee.
Akija pedeshee mahakamani,anasema NDIYO NILIMTUMA,(nina kinga).
koooooooorrrrrrrrttttttttiiiiii.
 
Awamu Iliyopita Hayo Yote Yalikuwa Yamekamilika Isipokuwa Siasa Ziliingilia Utendaji Muda Wote Ni Kama Jipya Hakuna
 
Katika his vigogo nadhani mmoja wa waziri Mkuu mstaafu na mwanasheria Mkuu mstaafu na waziri mstaafu mmoja hawatokosekana.
 
huyu jamaa ndio maana rais alisema kuwa kwao hili jina maana yake NJAA,saiv nimemuelewa mkuu alichokuwa anamaanisha,huyu MAYALLA mbona uandishi wake ni kama hajasomea hiyo taaluma?
sioni kama ana ubobevu wowote kwenye tasnia ya habari,ni mtu wa kukurupuka na habari zisizo na kichwa wala miguu,hasa hapa kaandika uozo gani,habari hata haieleweki,hata ukitaka kumsimulia mtu ni aibu maana utaonekana unaongea vitu havieleweki,ajitathmini aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…